Swali 68: Watu wengi al-Madiynah an-Munawarrah wamezowea kuwaingiza wafu wao kupitia mlango wa ar-Rahmah pasi na milango mingine. Wanaona kuwa kufanya hivo Allaah atamrehemu na kumsamehe. Je, kitu hichi kina usahihi wowote katika Shari´ah yetu iliyotakasika[1]?
Jibu: Sitambui imani hii kuwa na usahihi wowote katika Shari´ah pwekeshi. Bali hayo ni maovu na haijuzu kuonelea hivo. Hapana vibaya kuwaingiza wafu kupitia milango yote. Bora ni kumwingiza kupitia ule mlango ambao una madhara machache kwa waswaliji.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/187).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 51-52
- Imechapishwa: 29/12/2021
Swali 68: Watu wengi al-Madiynah an-Munawarrah wamezowea kuwaingiza wafu wao kupitia mlango wa ar-Rahmah pasi na milango mingine. Wanaona kuwa kufanya hivo Allaah atamrehemu na kumsamehe. Je, kitu hichi kina usahihi wowote katika Shari´ah yetu iliyotakasika[1]?
Jibu: Sitambui imani hii kuwa na usahihi wowote katika Shari´ah pwekeshi. Bali hayo ni maovu na haijuzu kuonelea hivo. Hapana vibaya kuwaingiza wafu kupitia milango yote. Bora ni kumwingiza kupitia ule mlango ambao una madhara machache kwa waswaliji.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/187).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 51-52
Imechapishwa: 29/12/2021
https://firqatunnajia.com/68-kumwingiza-maiti-kupitia-mlango-ar-rahmah-katika-msikiti-wa-madiynah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)