Kuna aina mbili za mume na mke kutengana:
1 – Wakatengana wakiwa hai.
2 – Wakatengana kwa kifo.
Katika hali zote mbili ni lazima kwa mwanamke kukaa eda. Ni kungojea muda uliowekwa katika Shari´ah. Hekima yake ni ukuta wa kumalizika hiyo ndoa baada ya kumalizika ndoa hiyo na kutakasika ule mfuko wa uzazi kutokana na mimba ili asije kumjamii yule asiyefarikiana naye. Matokeo yake kukatokea utatizi na kupoteza nasabu. Pia ndani yake kuna kuheshimu ndoa ya yule mume aliyetangulia, kuheshimu haki ya mume aliyemwacha na kudhihirisha kuathirika kwa kumwacha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 110-111
- Imechapishwa: 26/11/2019
Kuna aina mbili za mume na mke kutengana:
1 – Wakatengana wakiwa hai.
2 – Wakatengana kwa kifo.
Katika hali zote mbili ni lazima kwa mwanamke kukaa eda. Ni kungojea muda uliowekwa katika Shari´ah. Hekima yake ni ukuta wa kumalizika hiyo ndoa baada ya kumalizika ndoa hiyo na kutakasika ule mfuko wa uzazi kutokana na mimba ili asije kumjamii yule asiyefarikiana naye. Matokeo yake kukatokea utatizi na kupoteza nasabu. Pia ndani yake kuna kuheshimu ndoa ya yule mume aliyetangulia, kuheshimu haki ya mume aliyemwacha na kudhihirisha kuathirika kwa kumwacha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 110-111
Imechapishwa: 26/11/2019
https://firqatunnajia.com/63-yanayomlazimu-mwanamke-wakati-unapoisha-mkataba-wa-ndoa-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)