12 – Nguzo ya kumi na mbili: Kukaa katika Tashahhud hiyo. Kwa msemo mwingine ni kwamba anatakiwa kuisoma Tashahhud hiyo hali ya kuwa ameketi chini na si mwenye kusimama.
13 – Nguzo ya kumi na tatu: Kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Tashahhud ya mwisho.
Kuna tofauti kati ya wanazuoni. Imesemekana kwamba ni nguzo. Pia imesemekana vilevile kwamba ni wajibu. Yako maoni vilevile yanayosema kuwa imependekezwa[1]. Maoni yaliyo karibu zaidi na usawa ni kwamba ni wajibu.
14 – Nguzo ya kumi na nne: Tasliym mbili kwa yeye kusema:
السلام عليكم ورحمة الله
“Amani na baraka za Allaah ziwe juu yenu.”
Atasema hivo upande wa kuliani na wa upande wa kushotoni.
Mpaka hapa zimetimia nguzo kumi na nne.
[1] Tazama ”Ikhtilaaf-ul-A-immat-il-´Ulamaa” (01/120-121) ya Ibn Abiy Hubayrah, ”al-Mughniy” (01/367) na ”al-Majmuu´” (03/430).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 93-94
- Imechapishwa: 24/06/2022
12 – Nguzo ya kumi na mbili: Kukaa katika Tashahhud hiyo. Kwa msemo mwingine ni kwamba anatakiwa kuisoma Tashahhud hiyo hali ya kuwa ameketi chini na si mwenye kusimama.
13 – Nguzo ya kumi na tatu: Kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Tashahhud ya mwisho.
Kuna tofauti kati ya wanazuoni. Imesemekana kwamba ni nguzo. Pia imesemekana vilevile kwamba ni wajibu. Yako maoni vilevile yanayosema kuwa imependekezwa[1]. Maoni yaliyo karibu zaidi na usawa ni kwamba ni wajibu.
14 – Nguzo ya kumi na nne: Tasliym mbili kwa yeye kusema:
السلام عليكم ورحمة الله
“Amani na baraka za Allaah ziwe juu yenu.”
Atasema hivo upande wa kuliani na wa upande wa kushotoni.
Mpaka hapa zimetimia nguzo kumi na nne.
[1] Tazama ”Ikhtilaaf-ul-A-immat-il-´Ulamaa” (01/120-121) ya Ibn Abiy Hubayrah, ”al-Mughniy” (01/367) na ”al-Majmuu´” (03/430).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 93-94
Imechapishwa: 24/06/2022
https://firqatunnajia.com/63-nguzo-ya-kumi-na-mbili-mpaka-ya-kumi-na-nne/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)