Atakayefahamu masuala haya ambayo Allaah ameyaweka wazi katika Kitabu Chake – nayo ni kwamba washirikina ambao Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwapiga vita walikuwa wakimuomba Allaah (Ta´ala) na wakiwaomba wengine katika raha, ama wakati mgumu na wa shida hawamuombi mwengine isipokuwa Allaah pekee hali ya kuwa hana mshirika na wanawasahau mabwana wao – umembainishia tofauti baina ya watu wa zama zetu na shirki ya watu wa mwanzo. Lakini ni nani ambaye moyo wake unayafahamu mambo haya ufahamu wa ndani kabisa? Allaah ndiye Mwenye kutakwa msaada.
MAELEZO
Anasema (Rahimahu Allaah):
Hatambui tofauti kati shirki ya watu wa kale na shirki ya watu waliokuja nyuma ya kwamba shirki ya watu waliokuja nyuma ni khatari na kubwa zaidi. Haya hayafahamiki na yeyote isipokuwa yule mwenye kuzifahamu Aayah za Qur-aan zinazoyatia hayo wazi. Asiyeona tofauti basi inatokamana na kufahamu kwake vibaya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 93
- Imechapishwa: 27/01/2017
Atakayefahamu masuala haya ambayo Allaah ameyaweka wazi katika Kitabu Chake – nayo ni kwamba washirikina ambao Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwapiga vita walikuwa wakimuomba Allaah (Ta´ala) na wakiwaomba wengine katika raha, ama wakati mgumu na wa shida hawamuombi mwengine isipokuwa Allaah pekee hali ya kuwa hana mshirika na wanawasahau mabwana wao – umembainishia tofauti baina ya watu wa zama zetu na shirki ya watu wa mwanzo. Lakini ni nani ambaye moyo wake unayafahamu mambo haya ufahamu wa ndani kabisa? Allaah ndiye Mwenye kutakwa msaada.
MAELEZO
Anasema (Rahimahu Allaah):
Hatambui tofauti kati shirki ya watu wa kale na shirki ya watu waliokuja nyuma ya kwamba shirki ya watu waliokuja nyuma ni khatari na kubwa zaidi. Haya hayafahamiki na yeyote isipokuwa yule mwenye kuzifahamu Aayah za Qur-aan zinazoyatia hayo wazi. Asiyeona tofauti basi inatokamana na kufahamu kwake vibaya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 93
Imechapishwa: 27/01/2017
https://firqatunnajia.com/62-uthibitisho-ya-kwamba-shirki-ya-watu-wa-kale-ni-khafifu-kuliko-shirki-ya-watu-wa-zama-zetu-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)