Swali 62: Je, imesuniwa kuharakisha jeneza[1]?
Jibu: Imesuniwa kuharakisha jeneza pasi na tabu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Fanyeni haraka kumwandaa maiti. Akiwa ni mwema basi ni kheri mnazomtangulizia. Akiwa hayuko hivo ni shari mnayoitua kutoka shingo zenu.”[2]
Kuna maafikiano juu ya usahihi wake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/180).
[2] al-Bukhaariy (1315) na Muslim (944).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 46
- Imechapishwa: 26/12/2021
Swali 62: Je, imesuniwa kuharakisha jeneza[1]?
Jibu: Imesuniwa kuharakisha jeneza pasi na tabu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Fanyeni haraka kumwandaa maiti. Akiwa ni mwema basi ni kheri mnazomtangulizia. Akiwa hayuko hivo ni shari mnayoitua kutoka shingo zenu.”[2]
Kuna maafikiano juu ya usahihi wake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/180).
[2] al-Bukhaariy (1315) na Muslim (944).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 46
Imechapishwa: 26/12/2021
https://firqatunnajia.com/62-ni-sunnah-kumuharakisha-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)