7- Wasitangulizwe katika vikao na wala wasifunguliwe njia. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mtapokutana nao njiani basi wasogezeni upande wenye dhiki zaidi.”[1]
Hawakatazwi kupita lakini hata hivyo hawafunguliwi njia kupita kama wanavyofunguliwa waislamu, isipokuwa waachwe wapite katika njia za pembeni. Yote haya ni kwa ajili ya kuwatweza kwa sababu Allaah Mwenyewe kawatweza.
[1] Ameipokea al-Bukhaariy katika “al-Aadab al-Mufrad” (1103), Muslim (2167), at-Tirmidhiy (1602 na Abu Daawuud (5205) kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh). Vilevile imepokelewa na Ahmad (7567). at-Tirmidhiy amesema:
“Hadiyth ni nzuri na Swahiyh.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 89
- Imechapishwa: 16/10/2018
7- Wasitangulizwe katika vikao na wala wasifunguliwe njia. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mtapokutana nao njiani basi wasogezeni upande wenye dhiki zaidi.”[1]
Hawakatazwi kupita lakini hata hivyo hawafunguliwi njia kupita kama wanavyofunguliwa waislamu, isipokuwa waachwe wapite katika njia za pembeni. Yote haya ni kwa ajili ya kuwatweza kwa sababu Allaah Mwenyewe kawatweza.
[1] Ameipokea al-Bukhaariy katika “al-Aadab al-Mufrad” (1103), Muslim (2167), at-Tirmidhiy (1602 na Abu Daawuud (5205) kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh). Vilevile imepokelewa na Ahmad (7567). at-Tirmidhiy amesema:
“Hadiyth ni nzuri na Swahiyh.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 89
Imechapishwa: 16/10/2018
https://firqatunnajia.com/61-makatazo-ya-kuwaacha-makafiri-wakajitanua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)