Allaah (Ta´ala) amesema:
فَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا يُقِيمَا حُدُودَ اللَّـهِ فَلَا جُنَاحَ عَلَيْهِمَا فِيمَا افْتَدَتْ بِهِ
“Mtakapochelea kuwa wote wawili hawatoweza kusimamisha mipaka ya Allaah, basi hakuna neno juu yao katika ambacho amejikombolea kwacho.”[1]
Haafidhw Ibn Kathiyr amesema katika “Tafsiyr” yake:
“Mume na mke wakigombana na mke asitekeleze haki za mume, akamchukia na asiweze kutangamana naye kwa wema, basi inafaa kwake kumrudishia yale aliyompa. Hakuna ubaya kwa mke kumrudishia na wala hakuna ubaya kwa mume kumkubalia.”[2]
Jambo hili linaitwa Khul´.
[1] 02:229
[2] (01/483).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 109-110
- Imechapishwa: 25/11/2019
Allaah (Ta´ala) amesema:
فَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا يُقِيمَا حُدُودَ اللَّـهِ فَلَا جُنَاحَ عَلَيْهِمَا فِيمَا افْتَدَتْ بِهِ
“Mtakapochelea kuwa wote wawili hawatoweza kusimamisha mipaka ya Allaah, basi hakuna neno juu yao katika ambacho amejikombolea kwacho.”[1]
Haafidhw Ibn Kathiyr amesema katika “Tafsiyr” yake:
“Mume na mke wakigombana na mke asitekeleze haki za mume, akamchukia na asiweze kutangamana naye kwa wema, basi inafaa kwake kumrudishia yale aliyompa. Hakuna ubaya kwa mke kumrudishia na wala hakuna ubaya kwa mume kumkubalia.”[2]
Jambo hili linaitwa Khul´.
[1] 02:229
[2] (01/483).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 109-110
Imechapishwa: 25/11/2019
https://firqatunnajia.com/61-afanye-nini-kama-mke-anamchukia-mume-na-hataki-kubaki-naye-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)