Swali 60: Ni ipi maana ya Hadiyth ya Umm ´Atwiyyah:
“Tumekatazwa kufuata jeneza?”[1]
Jibu: Malengo ya makatazo ni kukatazwa kulisindikiza makaburini. Ama kumswalia ni jambo limesuniwa kwa wanamme na wanawake. Wanawake walikuwa wakiswalia jeneza pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/178).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 45
- Imechapishwa: 26/12/2021
Swali 60: Ni ipi maana ya Hadiyth ya Umm ´Atwiyyah:
“Tumekatazwa kufuata jeneza?”[1]
Jibu: Malengo ya makatazo ni kukatazwa kulisindikiza makaburini. Ama kumswalia ni jambo limesuniwa kwa wanamme na wanawake. Wanawake walikuwa wakiswalia jeneza pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/178).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 45
Imechapishwa: 26/12/2021
https://firqatunnajia.com/60-mwanamke-amekatazwa-kusindikiza-jeneza-makaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)