Swali 58: Ni ipi Sunnah katika kumsindikiza maiti[1]?
Jibu: Sunnah ni kwamba yule msindikizaji amfuate kutoka nyumbani kwenda sehemu ya kuswalia na kutoka sehemu ya kuswalia kwenda makaburini. Abaki pamoja naye mpaka wamalize kumzika. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yeyote atakayefuata jeneza la muislamu hali ya kuwa na imani na kutarajia malipo kutoka kwa Allaah na akawa pamoja nalo mpaka akamswalia na wakamaliza kumzika, basi anarejea akiwa na Qiraatw mbili. Kila Qiraatw moja ni mfano na mlima wa Uhud.”[2]
Ameipokea al-Bukhaariy katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/177).
[2] al-Bukhaariy (47).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 43-44
- Imechapishwa: 26/12/2021
Swali 58: Ni ipi Sunnah katika kumsindikiza maiti[1]?
Jibu: Sunnah ni kwamba yule msindikizaji amfuate kutoka nyumbani kwenda sehemu ya kuswalia na kutoka sehemu ya kuswalia kwenda makaburini. Abaki pamoja naye mpaka wamalize kumzika. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yeyote atakayefuata jeneza la muislamu hali ya kuwa na imani na kutarajia malipo kutoka kwa Allaah na akawa pamoja nalo mpaka akamswalia na wakamaliza kumzika, basi anarejea akiwa na Qiraatw mbili. Kila Qiraatw moja ni mfano na mlima wa Uhud.”[2]
Ameipokea al-Bukhaariy katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/177).
[2] al-Bukhaariy (47).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 43-44
Imechapishwa: 26/12/2021
https://firqatunnajia.com/58-ni-ipi-sunnah-katika-kumsindikiza-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)