Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kusoma Qur-aan katika Rukuu´ na Sujuud. Ameamrisha kujitahidi na kukithirisha kuomba du´aa katika nguzo hii, kama ilivyotajwa katika Rukuu´. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mja anakuwa karibu zaidi na Mola wake anapokuwa amesujudu. Hivyo basi kithirisheni du´aa.”[1]
[1] Muslim, Abu ´Awaanah na al-Bayhaqiy. Imetajwa katika ”al-Irwaa’” (456).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 128
- Imechapishwa: 04/08/2017
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kusoma Qur-aan katika Rukuu´ na Sujuud. Ameamrisha kujitahidi na kukithirisha kuomba du´aa katika nguzo hii, kama ilivyotajwa katika Rukuu´. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mja anakuwa karibu zaidi na Mola wake anapokuwa amesujudu. Hivyo basi kithirisheni du´aa.”[1]
[1] Muslim, Abu ´Awaanah na al-Bayhaqiy. Imetajwa katika ”al-Irwaa’” (456).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 128
Imechapishwa: 04/08/2017
https://firqatunnajia.com/58-makatazo-ya-kusoma-qur-aan-katika-sujuud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)