58- al-Qaadhwiy al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Muhammad bin Ishaaq ametuhadithia: Muhammad bin Saabiq ametuhadithia: Ibn Abiy Zaa-idah ametuhadithia: Yahyaa bin Sa´iyd amenihadithia, kutoka kwa Sa´iyd bin Yasaar, kutoka kwa Abu Hurayrah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Hakuna yeyote anayetoa swadaqah kutoka katika chumo zuri – na Allaah hakubali isipokuwa kilcho kizuri – isipokuwa anaiweka katika kitanga cha Mwingi wa huruma (Tabaarak wa Ta´ala). Allaah anailea tende hiyo kwa ajili yake, kama anavyolea mmoja wenu mtoto wa ng´ombe, mpaka inakuwa kama Uhud.”[1]
[1] Muslim (1014), an-Nasaa’iy (2525), at-Tirmidhiy (661), Ibn Maajah (1842), al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (718), Ibn Khuzaymah (78) na al-Aajurriy (320-321).
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 113-114
- Imechapishwa: 13/04/2018
58- al-Qaadhwiy al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Muhammad bin Ishaaq ametuhadithia: Muhammad bin Saabiq ametuhadithia: Ibn Abiy Zaa-idah ametuhadithia: Yahyaa bin Sa´iyd amenihadithia, kutoka kwa Sa´iyd bin Yasaar, kutoka kwa Abu Hurayrah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Hakuna yeyote anayetoa swadaqah kutoka katika chumo zuri – na Allaah hakubali isipokuwa kilcho kizuri – isipokuwa anaiweka katika kitanga cha Mwingi wa huruma (Tabaarak wa Ta´ala). Allaah anailea tende hiyo kwa ajili yake, kama anavyolea mmoja wenu mtoto wa ng´ombe, mpaka inakuwa kama Uhud.”[1]
[1] Muslim (1014), an-Nasaa’iy (2525), at-Tirmidhiy (661), Ibn Maajah (1842), al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (718), Ibn Khuzaymah (78) na al-Aajurriy (320-321).
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 113-114
Imechapishwa: 13/04/2018
https://firqatunnajia.com/58-dalili-juu-ya-mkono-wa-allaah-19/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)