Maneno yake mtunzi:
“…na kukaa baina ya Sajdah mbili.”
Akiinua kichwa chake kutoka katika Sujuud ataketi kitako mpaka kila kiungo cha mwili kitue pahali pake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 88
- Imechapishwa: 23/06/2022