Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha Rukuu´ na Sujuud vifanywe ipasavyo na akimfananisha yule asiyefanya hivo na mtu anayekula tende moja au mbili; hazimnufaishi kitu. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mtu kama huyo ni miongoni mwa wezi wabaya kabisa.
Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amehukumu kubatilika kwa swalah ya ambaye haunyooshi sawasawa mgongo wake katika Rukuu´ na Sujuud, kama ilivyotangulia kutajwa katika mlango unaozungumzia Rukuu´.
Alimwamrisha (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yule mtu aliyeswali kimakosa kutulizana katika Sujuud, kama ilivyotangulia kutajwa katika mlango wa kwanza.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 126
- Imechapishwa: 04/08/2017
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha Rukuu´ na Sujuud vifanywe ipasavyo na akimfananisha yule asiyefanya hivo na mtu anayekula tende moja au mbili; hazimnufaishi kitu. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mtu kama huyo ni miongoni mwa wezi wabaya kabisa.
Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amehukumu kubatilika kwa swalah ya ambaye haunyooshi sawasawa mgongo wake katika Rukuu´ na Sujuud, kama ilivyotangulia kutajwa katika mlango unaozungumzia Rukuu´.
Alimwamrisha (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yule mtu aliyeswali kimakosa kutulizana katika Sujuud, kama ilivyotangulia kutajwa katika mlango wa kwanza.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 126
Imechapishwa: 04/08/2017
https://firqatunnajia.com/56-uwajibu-wa-kutulizana-katika-sujuud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)