Swali 56: Ni bora kumswalia maiti msikitini au uwanjani[1]?
Jibu: Uwanjani ndio bora ikiwa kuna wepesi. Vilevile inafaa kumswalia msikitini kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimswalia Ibn Baydhwaa´ msikitini. Hayo yamepokelewa na Muslim katika “as-Swahiyh” yake kupitia kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa)[2].
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/164).
[2] Muslim (973).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 41
- Imechapishwa: 25/12/2021
Swali 56: Ni bora kumswalia maiti msikitini au uwanjani[1]?
Jibu: Uwanjani ndio bora ikiwa kuna wepesi. Vilevile inafaa kumswalia msikitini kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimswalia Ibn Baydhwaa´ msikitini. Hayo yamepokelewa na Muslim katika “as-Swahiyh” yake kupitia kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa)[2].
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/164).
[2] Muslim (973).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 41
Imechapishwa: 25/12/2021
https://firqatunnajia.com/56-ni-bora-kumswalia-maiti-msikitini-au-uwanjani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)