55- Ibn Swaa´id alisomewa: Muhammad bin ´Amr bin Hayyaan na Abu ´Utbah Ahmad bin al-Faraj ametuhadithia: Baqiyyah bin al-Waliyd ametuhadithia: Ibn Ziyaad amenihadithia, kutoka kwa Abu Umaamah (au kutoka kwa Swahabah mwengine), kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Mola wangu (´Azza wa Jall) ameniahidi kuwaingiza watu 70.000 katika Ummah wangu pasi na hesabu wala adhabu. Katika kila 1000 kuna 70.000; viganja vitatu vya Mola (´Azza wa Jall).”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 105-106
- Imechapishwa: 09/04/2018
55- Ibn Swaa´id alisomewa: Muhammad bin ´Amr bin Hayyaan na Abu ´Utbah Ahmad bin al-Faraj ametuhadithia: Baqiyyah bin al-Waliyd ametuhadithia: Ibn Ziyaad amenihadithia, kutoka kwa Abu Umaamah (au kutoka kwa Swahabah mwengine), kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Mola wangu (´Azza wa Jall) ameniahidi kuwaingiza watu 70.000 katika Ummah wangu pasi na hesabu wala adhabu. Katika kila 1000 kuna 70.000; viganja vitatu vya Mola (´Azza wa Jall).”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 105-106
Imechapishwa: 09/04/2018
https://firqatunnajia.com/55-dalili-juu-ya-viganja-vya-allaah-04/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)