Swali 53: Je, inafaa kufupika na moja kati ya Suurah mbili ambazo ni Suurah “as-Sajdah” na “al-Insaan” katika Fajr ya ijumaa[1]?
Jibu: Sunnah ni kuzisoma zote mbili na asifupilizike na moja wapo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”[2]
Vilevile kutokana na ueneaji wa maneno Yake (´Azza wa Jall):
لَّقَدْ كَانَ لَكُمْ فِي رَسُولِ اللَّـهِ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ
“Hakika mna kigezo chema kwa Mtume wa Allaah.”[3]
Jengine ni kwamba kufanya hivo kunaihuisha Sunnah na kuihifadhi.
MWISHO!
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/397).
[2] al-Bukhaariy (631) na ad-Daarimiy (1253).
[3] 33:21
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 106
- Imechapishwa: 10/12/2021
Swali 53: Je, inafaa kufupika na moja kati ya Suurah mbili ambazo ni Suurah “as-Sajdah” na “al-Insaan” katika Fajr ya ijumaa[1]?
Jibu: Sunnah ni kuzisoma zote mbili na asifupilizike na moja wapo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”[2]
Vilevile kutokana na ueneaji wa maneno Yake (´Azza wa Jall):
لَّقَدْ كَانَ لَكُمْ فِي رَسُولِ اللَّـهِ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ
“Hakika mna kigezo chema kwa Mtume wa Allaah.”[3]
Jengine ni kwamba kufanya hivo kunaihuisha Sunnah na kuihifadhi.
MWISHO!
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/397).
[2] al-Bukhaariy (631) na ad-Daarimiy (1253).
[3] 33:21
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 106
Imechapishwa: 10/12/2021
https://firqatunnajia.com/53-sunnah-ni-kuzisoma-suurah-zote-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)