52- Abu Muhammad bin Swaa´id alisomewa na mimi huku nasikiliza: al-Hasan bin ´Arafah ametuhadithia: Ismaa´iyl bin ´Ayyaash ametuhadithia, kutoka kwa Muhammad bin Ziyaad: Nimemsikia Abu Umaamah akisema: Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Mola wangu (´Azza wa Jall) ameniahidi kuwaingiza watu 70.000 katika Ummah wangu pasi na hesabu wala adhabu. Katika kila 1000 kuna 70.000; viganja vitatu vya Mola (´Azza wa Jall).”[1]
[1] at-Tirmidhiy (2437), Ibn Maajah (4286), Ahmad (5/268), Ibn Abiy ´Aaswim (589), at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Kabiyr (7520) na al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (723). at-Tirmidhiy amesema:
”Hadiyth ni nzuri na geni.”
Ibn Kathiyr amesema:
”Mlolongo wa wapokezi ni mzuri.” (Tafsiyr al-Qur-aan al-´Adhwiym (1/513))
Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (02/282)
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 103
- Imechapishwa: 04/04/2018
52- Abu Muhammad bin Swaa´id alisomewa na mimi huku nasikiliza: al-Hasan bin ´Arafah ametuhadithia: Ismaa´iyl bin ´Ayyaash ametuhadithia, kutoka kwa Muhammad bin Ziyaad: Nimemsikia Abu Umaamah akisema: Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Mola wangu (´Azza wa Jall) ameniahidi kuwaingiza watu 70.000 katika Ummah wangu pasi na hesabu wala adhabu. Katika kila 1000 kuna 70.000; viganja vitatu vya Mola (´Azza wa Jall).”[1]
[1] at-Tirmidhiy (2437), Ibn Maajah (4286), Ahmad (5/268), Ibn Abiy ´Aaswim (589), at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Kabiyr (7520) na al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (723). at-Tirmidhiy amesema:
”Hadiyth ni nzuri na geni.”
Ibn Kathiyr amesema:
”Mlolongo wa wapokezi ni mzuri.” (Tafsiyr al-Qur-aan al-´Adhwiym (1/513))
Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (02/282)
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 103
Imechapishwa: 04/04/2018
https://firqatunnajia.com/52-dalili-juu-ya-viganja-vya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)