Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kusoma Qur-aan katika Rukuu´ na Sujuud[1]. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Tanabahini! Hakika nimekatazwa kusoma Qur-aan katika Rukuu´ na Sujuud. Katika Rukuu´ muadhimisheni Mola (´Azza wa Jall) na katika Sujuud ombeni du´aa kwa bidii; kwani kuna matumaini makubwa ya nyinyi kuitikiwa.”[2]
[1] Muslim na Abu ´Awaanah. Makatazo hayakufungamanishwa na hivyo yanahusu swalah zaa faradhi na za Sunnah. Kuhusu ziada ya Ibn ´Asaakir:
”Kuhusu swalah ya Sunnah, hakuna neno.” (1/299/17)
ni dhaifu na haijuzu kuitendea kazi.
[2] Muslim na Abu ´Awaanah.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 117
- Imechapishwa: 17/02/2017
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kusoma Qur-aan katika Rukuu´ na Sujuud[1]. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Tanabahini! Hakika nimekatazwa kusoma Qur-aan katika Rukuu´ na Sujuud. Katika Rukuu´ muadhimisheni Mola (´Azza wa Jall) na katika Sujuud ombeni du´aa kwa bidii; kwani kuna matumaini makubwa ya nyinyi kuitikiwa.”[2]
[1] Muslim na Abu ´Awaanah. Makatazo hayakufungamanishwa na hivyo yanahusu swalah zaa faradhi na za Sunnah. Kuhusu ziada ya Ibn ´Asaakir:
”Kuhusu swalah ya Sunnah, hakuna neno.” (1/299/17)
ni dhaifu na haijuzu kuitendea kazi.
[2] Muslim na Abu ´Awaanah.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 117
Imechapishwa: 17/02/2017
https://firqatunnajia.com/51-makatazo-ya-kusoma-qur-aan-katika-rukuu-na-sujuud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)