190- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna al-´Adwaa wala at-Twiyarah. Yakweli katika hizo ni al-Fa´l.” Wakasema: “Na ni nini al-Fa´l?” Akasema: “Ni neno zuri asikialo mwanaume.”
191- Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akipenda al-Fa´l.
192- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Niliota usingizini kana kwamba niko kwa ´Uqbah bin Raafiy´. Tukakaribishwa tende na Ibn Twaab. Nikafasiri ndoto hiyo kama hadhi duniani, Pepo Aakhirah na kwamba Dini yetu imekomaa.”
193- Ama kuhusu mkosi Mu´aawiyah bin al-Hakam (Radhiya Allaahu ´anhu) amesema:
“Ee Mtume wa Allaah! Kuko watu miongoni mwetu wanaoamini mkosi.” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Hicho ni kitu mnachohisi vifuani mwenu. Kisikuzuieni.”
Mwisho na himdi zote ni Zake Allaah.
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 115-116
- Imechapishwa: 21/03/2017
190- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna al-´Adwaa wala at-Twiyarah. Yakweli katika hizo ni al-Fa´l.” Wakasema: “Na ni nini al-Fa´l?” Akasema: “Ni neno zuri asikialo mwanaume.”
191- Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akipenda al-Fa´l.
192- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Niliota usingizini kana kwamba niko kwa ´Uqbah bin Raafiy´. Tukakaribishwa tende na Ibn Twaab. Nikafasiri ndoto hiyo kama hadhi duniani, Pepo Aakhirah na kwamba Dini yetu imekomaa.”
193- Ama kuhusu mkosi Mu´aawiyah bin al-Hakam (Radhiya Allaahu ´anhu) amesema:
“Ee Mtume wa Allaah! Kuko watu miongoni mwetu wanaoamini mkosi.” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Hicho ni kitu mnachohisi vifuani mwenu. Kisikuzuieni.”
Mwisho na himdi zote ni Zake Allaah.
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 115-116
Imechapishwa: 21/03/2017
https://firqatunnajia.com/50-al-fal-na-mkosi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)