Ya nne: Allaah (Ta´ala) amemrukhusu mwanamke kuonesha mapambo yake yenye kufichikana kwa mtumishi mwanaume asiyekuwa tena na matamanio kwa wanawake na mtoto ambaye bado hajaelewa kitu kuhusiana na uke. Hili linatolea dalili kuonyesha mambo mawili:
1-Mapambo yenye kufichikana hayatakiwi kuonekana kwa wanaume ajinabi isipokuwa watu hawa aina mbili.
2- Hukumu hii inatokamana na khatari ya fitina kwa mwanamke. Ni jambo lisilokuwa na shaka yoyote kuwa uzuri na fitina iko usoni. Hivyo inakuwa ni wajibu kuufunika mbele ya wanaume wenye matamanio kwa wanaume.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hijaab, uk. 8-9
- Imechapishwa: 26/03/2017
Ya nne: Allaah (Ta´ala) amemrukhusu mwanamke kuonesha mapambo yake yenye kufichikana kwa mtumishi mwanaume asiyekuwa tena na matamanio kwa wanawake na mtoto ambaye bado hajaelewa kitu kuhusiana na uke. Hili linatolea dalili kuonyesha mambo mawili:
1-Mapambo yenye kufichikana hayatakiwi kuonekana kwa wanaume ajinabi isipokuwa watu hawa aina mbili.
2- Hukumu hii inatokamana na khatari ya fitina kwa mwanamke. Ni jambo lisilokuwa na shaka yoyote kuwa uzuri na fitina iko usoni. Hivyo inakuwa ni wajibu kuufunika mbele ya wanaume wenye matamanio kwa wanaume.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hijaab, uk. 8-9
Imechapishwa: 26/03/2017
https://firqatunnajia.com/5-fitina-iko-usoni-kwa-mwanamke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)