Shaykh Hasan al-Bannaa na ndugu zake wa Kiislamu wameifanya Da´wah hii ya Kiislamu kuwa Da´wah ya jarima na propaganda. Anafadhiliwa na wakumunisti na mayahudi. Hilo tunalijua kwa yakini[1].
Usaamah bin Ahmad Shaakir (Rahimahu Allaah) amesema:
“Wakati baba yangu Shaykh Ahmad Muhammad Shaakir alipohamishwa kwenye mahakama ya Kishari´ah ya Ismaa´iyliyyah kama Qaadhiy akaniandikisha kwenye masomo ya Ismaa´iyliyyah shule ya msingi. Nilikuwa naenda kwenye darasa la tatu wakati huo. Mwalimu wa somo la kiarabu alikuwa Shaykh Hasan al-Bannaa. Alipojua kuwa mimi ni mtoto wa Shaykh Ahmad Muhammad Shaakir akaniomba kama anaweza kuja kumtembelea baba yangu. Akamkubalia. Akajadili naye juu ya kwamba Da´wah ni lazima iwe kwa Qur-aan na Sunnah. Baba akamshaji´isha kwa hilo. Mawasiliano yao yakaendelea baada ya kuhamia Cairo 1932 ambapo tulikuwa tukiishi na babu yangu Shaykh Muhammad Shaakir (Rahimahu Allaah). Pindi baba yangu alipoona kundi katika al-Ikhwaan al-Muslimuun limelemea katika vurugu akawa amekata mawasiliano yake na Shaykh Hasan al-Bannaa. Alimnasihi mara nyingi kujitenga mbali na kundi hili, lakini hakujali hilo. Mwishoni akalazimika kuandika makala “al-Iymaan Qayd-ul-Fatk” 1948-´Allaamah 1949.”[2]
[1] Taqriyr ´an Shu´uun-il-Qadhwaa´, uk. 48
[2] Min A´laam-il-´Aswr, uk. 51-52
- Mhusika: Muhammad bin ´Iwadh bin ´Abdil-Ghaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Taqriyr ´an Shu’uun-il-Qadhwaa’, uk. 48 Lamahaat ´an Da´wat-il-Ikhwaan al-Muslimiyn, uk. 18
- mkusanyaji: Muhammad bin ´Iwadh bin ´Abdil-Ghaniy
Shaykh Hasan al-Bannaa na ndugu zake wa Kiislamu wameifanya Da´wah hii ya Kiislamu kuwa Da´wah ya jarima na propaganda. Anafadhiliwa na wakumunisti na mayahudi. Hilo tunalijua kwa yakini[1].
Usaamah bin Ahmad Shaakir (Rahimahu Allaah) amesema:
“Wakati baba yangu Shaykh Ahmad Muhammad Shaakir alipohamishwa kwenye mahakama ya Kishari´ah ya Ismaa´iyliyyah kama Qaadhiy akaniandikisha kwenye masomo ya Ismaa´iyliyyah shule ya msingi. Nilikuwa naenda kwenye darasa la tatu wakati huo. Mwalimu wa somo la kiarabu alikuwa Shaykh Hasan al-Bannaa. Alipojua kuwa mimi ni mtoto wa Shaykh Ahmad Muhammad Shaakir akaniomba kama anaweza kuja kumtembelea baba yangu. Akamkubalia. Akajadili naye juu ya kwamba Da´wah ni lazima iwe kwa Qur-aan na Sunnah. Baba akamshaji´isha kwa hilo. Mawasiliano yao yakaendelea baada ya kuhamia Cairo 1932 ambapo tulikuwa tukiishi na babu yangu Shaykh Muhammad Shaakir (Rahimahu Allaah). Pindi baba yangu alipoona kundi katika al-Ikhwaan al-Muslimuun limelemea katika vurugu akawa amekata mawasiliano yake na Shaykh Hasan al-Bannaa. Alimnasihi mara nyingi kujitenga mbali na kundi hili, lakini hakujali hilo. Mwishoni akalazimika kuandika makala “al-Iymaan Qayd-ul-Fatk” 1948-´Allaamah 1949.”[2]
[1] Taqriyr ´an Shu´uun-il-Qadhwaa´, uk. 48
[2] Min A´laam-il-´Aswr, uk. 51-52
Mhusika: Muhammad bin ´Iwadh bin ´Abdil-Ghaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Taqriyr ´an Shu’uun-il-Qadhwaa’, uk. 48 Lamahaat ´an Da´wat-il-Ikhwaan al-Muslimiyn, uk. 18
mkusanyaji: Muhammad bin ´Iwadh bin ´Abdil-Ghaniy
https://firqatunnajia.com/5-ahmad-shaakir-kuhusu-hasan-al-bannaa-na-al-ikhwaan-al-muslimuun/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)