Allaah (Ta´ala) Amesema:
وَلَوْلَا إِذْ دَخَلْتَ جَنَّتَكَ قُلْتَ مَا شَاءَ اللَّـهُ لَا قُوَّةَ إِلَّا بِاللَّـهِ
“Na lau ulipoingia bustanini mwako ungelisema: ‘Maa Shaa Allaah! Laa quwwata illa bilLLaah’ (Ametaka Allaah; hapana nguvu ila za Allaah).” (al-Kahf 18 : 39)
187- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kijicho ni haki. Lau kungelikuwa kitu ambacho kingelitangulia Qadar basi ingelikuwa ni kijicho.”
188- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mtu akiona kitu ambacho amekipenda kwake au katika mali yake basi akiombee baraka. Hakika kijicho ni haki.”
189- Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anhu) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiomba kinga dhidi ya majini na vijicho vya watu. Wakati kulipoteremshwa al-Falaq na an-Naas akawa badala yake anazisoma na kuacha vingine vyote.”
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 114-115
- Imechapishwa: 21/03/2017
Allaah (Ta´ala) Amesema:
وَلَوْلَا إِذْ دَخَلْتَ جَنَّتَكَ قُلْتَ مَا شَاءَ اللَّـهُ لَا قُوَّةَ إِلَّا بِاللَّـهِ
“Na lau ulipoingia bustanini mwako ungelisema: ‘Maa Shaa Allaah! Laa quwwata illa bilLLaah’ (Ametaka Allaah; hapana nguvu ila za Allaah).” (al-Kahf 18 : 39)
187- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kijicho ni haki. Lau kungelikuwa kitu ambacho kingelitangulia Qadar basi ingelikuwa ni kijicho.”
188- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mtu akiona kitu ambacho amekipenda kwake au katika mali yake basi akiombee baraka. Hakika kijicho ni haki.”
189- Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anhu) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiomba kinga dhidi ya majini na vijicho vya watu. Wakati kulipoteremshwa al-Falaq na an-Naas akawa badala yake anazisoma na kuacha vingine vyote.”
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 114-115
Imechapishwa: 21/03/2017
https://firqatunnajia.com/49-duaa-kwa-kitu-kinachopendwa-ambacho-kinakhofiwa-juu-yake-kijicho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)