47 – Muhammad bin ´Abdil-Baaqiy´ ametukhabarisha: Hamd bin Ahmad al-Haddaad ametuhadithia: Abu Nu´aym ametuhadithia: Baba yangu na Muhammad bin Ahmad wametuhadithia: al-Hasan ametuhadithia: Muhammad bin Humayd ametuhadithia: Ya´quub ametuhadithia, kutoka kwa Ja´far, kutoka kwa Sa´iyd bin Jubayr ambaye amesema:
“Watu walipatwa na ukame kwa miaka tatu katika ufalme wa mmoja katika wafalme wa wana wa Israaiyl. Mfalme akasema: “Allaah atatuteremshia mvua au tutamuudhi.” Waliokuwa wametangamana naye wakamwambia: “Vipi utaweza kumuudhi au kumkasirisha ilihali Yeye yuko juu mbinguni na wewe uko ardhini?” Akasema: “Nitamuua walii Wake ardhini.” Ndipo Allaah atawateremshia mvua kutoka mbinguni.”
- Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 144
- Imechapishwa: 01/07/2018
47 – Muhammad bin ´Abdil-Baaqiy´ ametukhabarisha: Hamd bin Ahmad al-Haddaad ametuhadithia: Abu Nu´aym ametuhadithia: Baba yangu na Muhammad bin Ahmad wametuhadithia: al-Hasan ametuhadithia: Muhammad bin Humayd ametuhadithia: Ya´quub ametuhadithia, kutoka kwa Ja´far, kutoka kwa Sa´iyd bin Jubayr ambaye amesema:
“Watu walipatwa na ukame kwa miaka tatu katika ufalme wa mmoja katika wafalme wa wana wa Israaiyl. Mfalme akasema: “Allaah atatuteremshia mvua au tutamuudhi.” Waliokuwa wametangamana naye wakamwambia: “Vipi utaweza kumuudhi au kumkasirisha ilihali Yeye yuko juu mbinguni na wewe uko ardhini?” Akasema: “Nitamuua walii Wake ardhini.” Ndipo Allaah atawateremshia mvua kutoka mbinguni.”
Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 144
Imechapishwa: 01/07/2018
https://firqatunnajia.com/49-dalili-ya-sita-kutoka-kwa-mtume-kwamba-allaah-yuko-juu-ya-viumbe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)