186- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anhu) amesema:
”Watu walipokuwa wakiona matokeo ya kwanza ya matunda wanakuja nayo kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mtume anapoyachukua husema:
اللهُمَّ بارِكْ لَنَا في ثَمَرِنَا وَبَارِكْ لَنَا في مَدِينَتِنَا وَبَارِكْ لَنَا في صَاعِنَا وَبَارِكْ لَنَا في مُدِّنَا
”Ee Allaah! Tubarikie matunda yetu. Tubarikie mji wetu. Tubarikie Swaa´ yetu. Tubarikie Mudd yetu.”
Kisha humpa nalo mdogo katika watoto waliopo pale.”
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 113-114
- Imechapishwa: 21/03/2017
186- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anhu) amesema:
”Watu walipokuwa wakiona matokeo ya kwanza ya matunda wanakuja nayo kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mtume anapoyachukua husema:
اللهُمَّ بارِكْ لَنَا في ثَمَرِنَا وَبَارِكْ لَنَا في مَدِينَتِنَا وَبَارِكْ لَنَا في صَاعِنَا وَبَارِكْ لَنَا في مُدِّنَا
”Ee Allaah! Tubarikie matunda yetu. Tubarikie mji wetu. Tubarikie Swaa´ yetu. Tubarikie Mudd yetu.”
Kisha humpa nalo mdogo katika watoto waliopo pale.”
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 113-114
Imechapishwa: 21/03/2017
https://firqatunnajia.com/48-duaa-wakati-wa-kuona-matokeo-ya-kwanza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)