47- Ishaaq bin Muhammad bin al-Fadhwl az-Zayyaat ametuhadithia: Yuusuf bin Muusaa ametuhadithia: Jariyr ametuhadithia, kutoka kwa al-A´mash, kutoka kwa Habiyb bin Abiy Thaabit, kutoka kwa ´Atwaa’, kutoka kwa Ibn ´Umar aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Usiukebehi uso. Kwani hakika Allaah (´Azza wa Jall) amemuumba Aadam kwa sura Yake.”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 96-97
- Imechapishwa: 01/04/2018
47- Ishaaq bin Muhammad bin al-Fadhwl az-Zayyaat ametuhadithia: Yuusuf bin Muusaa ametuhadithia: Jariyr ametuhadithia, kutoka kwa al-A´mash, kutoka kwa Habiyb bin Abiy Thaabit, kutoka kwa ´Atwaa’, kutoka kwa Ibn ´Umar aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Usiukebehi uso. Kwani hakika Allaah (´Azza wa Jall) amemuumba Aadam kwa sura Yake.”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 96-97
Imechapishwa: 01/04/2018
https://firqatunnajia.com/47-dalili-juu-ya-sura-ya-allaah-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)