Swali 46: Ni ipi hukumu kwa mfungaji kutumia Siwaak baada ya jua kukengeuka?
Jibu: Mfungaji kutumia Siwaak kabla na baada ya jua kukengeuka ni Sunnah kama zilivyo Sunnah zengine. Kwa kuwa Hadiyth ni yenye kuenea katika utumiaji wa Siwaak. Hakuvuliwa mfungaji kabla wala baada ya jua kukengeuka. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Siwaak ni yenye kuusafisha mdomo na inamridhisha Mola.”[1]
“Lau nisingeliona uzito kwa Ummah basi ningeliwaamrisha kutumia Siwaak wakati wa kila swalah.”[2]
[1] Ahmad (47/06-62-124) na an-Nasaa´iy (05). Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy.
[2] al-Bukhaariy (887) na Muslim (510).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 39
- Imechapishwa: 01/05/2021
Swali 46: Ni ipi hukumu kwa mfungaji kutumia Siwaak baada ya jua kukengeuka?
Jibu: Mfungaji kutumia Siwaak kabla na baada ya jua kukengeuka ni Sunnah kama zilivyo Sunnah zengine. Kwa kuwa Hadiyth ni yenye kuenea katika utumiaji wa Siwaak. Hakuvuliwa mfungaji kabla wala baada ya jua kukengeuka. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Siwaak ni yenye kuusafisha mdomo na inamridhisha Mola.”[1]
“Lau nisingeliona uzito kwa Ummah basi ningeliwaamrisha kutumia Siwaak wakati wa kila swalah.”[2]
[1] Ahmad (47/06-62-124) na an-Nasaa´iy (05). Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy.
[2] al-Bukhaariy (887) na Muslim (510).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 39
Imechapishwa: 01/05/2021
https://firqatunnajia.com/46-siwaak-baada-ya-kujua-kupinduka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)