Swali 46: Ni ipi hukumu ya majimaji ya uchafu yanayomtoka mwanamke kabla ya hedhi kwa muda wa siku moja, zaidi ya siku moja au chini ya hapo?
Jibu: Ikiwa ni vitangulizi vya hedhi basi hiyo ni hedhi. Hilo linajulikana kwa yale maumivu ambayo kikawaida humjia mwenye hedhi. Kuhusu maji ya uchafuchafu baada ya hedhi anatakiwa kusubiri mpaka yaondoke. Kwa sababu maji ya uchafuchafu yaliyoambatana na hedhi huzingatiwa ni hedhi. Hilo ni kutokana na maneno ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa):
“Usifanye haraka mpaka uone mtiririko mweupe.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 38
- Imechapishwa: 28/08/2021
Swali 46: Ni ipi hukumu ya majimaji ya uchafu yanayomtoka mwanamke kabla ya hedhi kwa muda wa siku moja, zaidi ya siku moja au chini ya hapo?
Jibu: Ikiwa ni vitangulizi vya hedhi basi hiyo ni hedhi. Hilo linajulikana kwa yale maumivu ambayo kikawaida humjia mwenye hedhi. Kuhusu maji ya uchafuchafu baada ya hedhi anatakiwa kusubiri mpaka yaondoke. Kwa sababu maji ya uchafuchafu yaliyoambatana na hedhi huzingatiwa ni hedhi. Hilo ni kutokana na maneno ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa):
“Usifanye haraka mpaka uone mtiririko mweupe.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 38
Imechapishwa: 28/08/2021
https://firqatunnajia.com/46-majimaji-machafu-yanayotoka-kabla-na-baada-ya-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)