´Uthmaan bin Abiyl-´Aasw (Radhiya Allaahu ´anh) alisema kumwambia:
“Ee Mtume wa Allaah! Hakika shaytwaan anaingia kati yangu mimi na swalah na kisomo changu na kunitatiza na kunishawisha.” Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Huyo ni shaytwaan anayeitwa Khinzab. Ukimuhisi basi unatakiwa kumuomba Allaah kinga na uteme cheche za mate kidogo upande wa shotoni mwako.” Nikafanya hivo na Allaah akamuweka mbali na mimi.”[1]
[1] Muslim na Ahmad. an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
“Hadiyth inathibitisha ya kwamba imependekezwa kumuomba Allaah ulinzi kutokamana na shaytwaan na kutema mara tatu cheche za mate kidogo upande wa kushoto wakati anaposhawishi.”
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 111
- Imechapishwa: 17/02/2017
´Uthmaan bin Abiyl-´Aasw (Radhiya Allaahu ´anh) alisema kumwambia:
“Ee Mtume wa Allaah! Hakika shaytwaan anaingia kati yangu mimi na swalah na kisomo changu na kunitatiza na kunishawisha.” Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Huyo ni shaytwaan anayeitwa Khinzab. Ukimuhisi basi unatakiwa kumuomba Allaah kinga na uteme cheche za mate kidogo upande wa shotoni mwako.” Nikafanya hivo na Allaah akamuweka mbali na mimi.”[1]
[1] Muslim na Ahmad. an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
“Hadiyth inathibitisha ya kwamba imependekezwa kumuomba Allaah ulinzi kutokamana na shaytwaan na kutema mara tatu cheche za mate kidogo upande wa kushoto wakati anaposhawishi.”
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 111
Imechapishwa: 17/02/2017
https://firqatunnajia.com/45-namna-ya-kukabiliana-na-wasiwasi-ndani-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)