Swali 45: Wako wanaokunasibishia maoni ya kwamba utoko hauchengui wudhuu´.
Jibu: Mwenye kuninasibishia mimi maoni hayo si mkweli. Dhahiri ni kuwa maneno yangu kusema kuwa utoko ni msafi amefahamu kimakosa kwamba hauchengui wudhuu´.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 37
- Imechapishwa: 27/08/2021
Swali 45: Wako wanaokunasibishia maoni ya kwamba utoko hauchengui wudhuu´.
Jibu: Mwenye kuninasibishia mimi maoni hayo si mkweli. Dhahiri ni kuwa maneno yangu kusema kuwa utoko ni msafi amefahamu kimakosa kwamba hauchengui wudhuu´.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 37
Imechapishwa: 27/08/2021
https://firqatunnajia.com/45-kufahamu-kimakosa-kuwa-utoko-hauchengui-wudhuu-kwa-kuwa-ni-msafi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)