45- Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: al-´Abbaas bin al-Waliyd bin Yaziyd ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia: Ibn Jaabir ametuhadithia… al-Husayn bin Ismaa´iyl vilevile ametuhadithia: ´Abdur-Rahmaan bin Yuunus as-Sarraaj ametuhadithia: al-Waliyd bin Muslim ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Jaabir, kutoka kwa Busr bin ´Ubaydillaah al-Hadhwramiy, kutoka kwa Abu Idriys al-Kawhlaaniy: Nimemsikia an-Nawwaas bin Sam´aan al-Kullaabiy akisema: Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Hakuna moyo isipokuwa uko kati ya vidole viwili katika vidole vya Mola wa walimwengu. Akitaka kuunyoosha, basi Anaunyoosha, na akitaka kuupotoa, basi Anaupotoa.”
Amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akisema:
يَا مُقَلِّبَ الْقُلُوبِ ثبتنا عَلَى دِينِكَ
“Ee Mwenye kuzigeuza nyoyo. Uthibitishe moyo wangu katika dini Yako. Mizani iko mkononi mwa Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall). Anaishusha na anaipandisha.”
al-´Abbaas amesema:
“… iko kwenye vidole vya Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall). Akitaka kuunyoosha, basi Anaunyoosha, na akitaka kuupotoa, basi Anaupotoa.”
Amesema vilevile:
ثبت قلوبنا عَلَى دِينِكَ
“Uthibitishe moyo wangu katika dini Yako. Mizani iko mkononi mwa Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall). Kuna watu Anawashusha na kuna watu Anawanyanyua mpaka siku ya Qiyaamah.”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 92-94
- Imechapishwa: 01/04/2018
45- Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: al-´Abbaas bin al-Waliyd bin Yaziyd ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia: Ibn Jaabir ametuhadithia… al-Husayn bin Ismaa´iyl vilevile ametuhadithia: ´Abdur-Rahmaan bin Yuunus as-Sarraaj ametuhadithia: al-Waliyd bin Muslim ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Jaabir, kutoka kwa Busr bin ´Ubaydillaah al-Hadhwramiy, kutoka kwa Abu Idriys al-Kawhlaaniy: Nimemsikia an-Nawwaas bin Sam´aan al-Kullaabiy akisema: Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Hakuna moyo isipokuwa uko kati ya vidole viwili katika vidole vya Mola wa walimwengu. Akitaka kuunyoosha, basi Anaunyoosha, na akitaka kuupotoa, basi Anaupotoa.”
Amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akisema:
يَا مُقَلِّبَ الْقُلُوبِ ثبتنا عَلَى دِينِكَ
“Ee Mwenye kuzigeuza nyoyo. Uthibitishe moyo wangu katika dini Yako. Mizani iko mkononi mwa Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall). Anaishusha na anaipandisha.”
al-´Abbaas amesema:
“… iko kwenye vidole vya Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall). Akitaka kuunyoosha, basi Anaunyoosha, na akitaka kuupotoa, basi Anaupotoa.”
Amesema vilevile:
ثبت قلوبنا عَلَى دِينِكَ
“Uthibitishe moyo wangu katika dini Yako. Mizani iko mkononi mwa Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall). Kuna watu Anawashusha na kuna watu Anawanyanyua mpaka siku ya Qiyaamah.”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 92-94
Imechapishwa: 01/04/2018
https://firqatunnajia.com/45-dalili-juu-ya-vidole-vya-allaah-4/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)