Uokozi kutokamana na majina ya haramu na yaliyochukizwa ni kuyabadili kwa majina yaliyowekwa katika Shari´ah na yenye kujuzu. Mabadilisho yanatakiwa kupitika kupitia amri ya mlezi anayetambulika Kishari´ah. Yeye ndiye anatakiwa kumuamrisha yule mpewa jina mpungufu au ambaye kishabaleghe na kupevuka kubadili jina.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alibadilisha majina ya watu wengi; alibadili majina ya kishirikina na majina ya kikafiri kwenda majina ya kiumini. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akibadilisha majina mabaya kwa majina mazuri.”
Ameipokea at-Tirmidhiy.
Atalijua hilo mwenye kusoma kitabu “al-Iswaabah fiy Tamyiyz Asmaa´is-Swahaabah” cha Ibn Hajar.
Udhahiri ni kwamba mwongozo wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ilikuwa kubadili jina kwa matamko ya kufanana. Kwa mfano alibadili Shihaab kwenda Hishaam na Juthaamah kwenda Hassaanah.
Hali kadhalika ´Abdun-Nabiy linatakiwa kubadilishwa kwenda ´Abdul-Ghaniy, ´Abdur-Rasuul kwenda ´Abdul-Ghaniy, ´Abdu ´Aliy kwenda ´Abdul-´Aliy, ´Abdul-Husayn kwenda ´Abdul-Muhsin, Hanash kwenda Anas, ´Abdul-Kaadhwim kwenda ´Abdul-Qaadir na kadhalika. Lililo muhimu ni kubadilisha jina kwenda katika jina lililopendekezwa au linalojuzu[1].
[1] Miftaah Daar-is-Sa´aadah, uk. 259.
- Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 29-30
- Imechapishwa: 18/03/2017
Uokozi kutokamana na majina ya haramu na yaliyochukizwa ni kuyabadili kwa majina yaliyowekwa katika Shari´ah na yenye kujuzu. Mabadilisho yanatakiwa kupitika kupitia amri ya mlezi anayetambulika Kishari´ah. Yeye ndiye anatakiwa kumuamrisha yule mpewa jina mpungufu au ambaye kishabaleghe na kupevuka kubadili jina.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alibadilisha majina ya watu wengi; alibadili majina ya kishirikina na majina ya kikafiri kwenda majina ya kiumini. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akibadilisha majina mabaya kwa majina mazuri.”
Ameipokea at-Tirmidhiy.
Atalijua hilo mwenye kusoma kitabu “al-Iswaabah fiy Tamyiyz Asmaa´is-Swahaabah” cha Ibn Hajar.
Udhahiri ni kwamba mwongozo wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ilikuwa kubadili jina kwa matamko ya kufanana. Kwa mfano alibadili Shihaab kwenda Hishaam na Juthaamah kwenda Hassaanah.
Hali kadhalika ´Abdun-Nabiy linatakiwa kubadilishwa kwenda ´Abdul-Ghaniy, ´Abdur-Rasuul kwenda ´Abdul-Ghaniy, ´Abdu ´Aliy kwenda ´Abdul-´Aliy, ´Abdul-Husayn kwenda ´Abdul-Muhsin, Hanash kwenda Anas, ´Abdul-Kaadhwim kwenda ´Abdul-Qaadir na kadhalika. Lililo muhimu ni kubadilisha jina kwenda katika jina lililopendekezwa au linalojuzu[1].
[1] Miftaah Daar-is-Sa´aadah, uk. 259.
Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 29-30
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/42-majina-mabaya-yanatakiwa-kubadilishwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)