43- ´Abdullaah bin al-Haarith ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah ameumba vitu vitatu kwa mkono Wake: Amemuumba Aadam kwa mkono Wake, ameiandika Tawraat kwa mkono Wake na ameipanda Pepo kwa mkono Wake.”[1]
Kuna Swahabah anayekosa katika cheni ya wapokezi.
Hadiyth inafahamisha kuwa uandishi umeumbwa, bi maana uandishi wa Tawraat umeumbwa. Kuhusu kile chenye kuandikwa ni maneno ya Allaah (´Azza wa Jall).”
[1] al-Bayhaqiy (692) na Abush-Shaykh (5/1555).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 31-32
- Imechapishwa: 09/07/2019
43- ´Abdullaah bin al-Haarith ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah ameumba vitu vitatu kwa mkono Wake: Amemuumba Aadam kwa mkono Wake, ameiandika Tawraat kwa mkono Wake na ameipanda Pepo kwa mkono Wake.”[1]
Kuna Swahabah anayekosa katika cheni ya wapokezi.
Hadiyth inafahamisha kuwa uandishi umeumbwa, bi maana uandishi wa Tawraat umeumbwa. Kuhusu kile chenye kuandikwa ni maneno ya Allaah (´Azza wa Jall).”
[1] al-Bayhaqiy (692) na Abush-Shaykh (5/1555).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 31-32
Imechapishwa: 09/07/2019
https://firqatunnajia.com/42-dalili-ya-ishirini-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)