10- Wanachuoni wengi wanaonelea kuchukizwa kuitwa kwa majina ya Suurah za Qur-aan kama mfano wa Twaa Haa, Yaa Siyn, Haa Miym na kadhalika. Kuhusiana na mtazamo wa ´Awwaam kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anaitwa Twaa Haa na Yaa Siyn sio sahihi.
- Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 29
- Imechapishwa: 18/03/2017
10- Wanachuoni wengi wanaonelea kuchukizwa kuitwa kwa majina ya Suurah za Qur-aan kama mfano wa Twaa Haa, Yaa Siyn, Haa Miym na kadhalika. Kuhusiana na mtazamo wa ´Awwaam kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anaitwa Twaa Haa na Yaa Siyn sio sahihi.
Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 29
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/41-aina-ya-kumi-na-moja-ya-majina-yaliyochukizwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)