71- Swafwaan bin ´Assaal al-Muraadiy (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nilikuja kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo alikuwa msikitini hali ya kuwa ameshegama kwenye blanketi yake nyekundu. Nikamwambia: “Ee Mtume wa Allaah! Mimi nimekuja kutafuta elumu.” Akasema: “Karibu ee mwanafunzi. Hakika mwanafunzi anazungukwa na Malaika na wanamfunika kwa mbawa zao. Kisha wanapandiana mpaka wanafika kwenye mbingu ya chini kwa ajili ya kupenda kwao kile anachokitafuta.”[1]
Ameipokea Ahmad, at-Twabaraaniy kwa cheni ya wapokezi nzuri na tamko ni lake, Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake na al-Haakim amesema:
“Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh.”
Ibn Maajah amepokea mfano wake kwa ufupi.
[1] Nzuri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/139-140)
- Imechapishwa: 14/09/2018
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
71- Swafwaan bin ´Assaal al-Muraadiy (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nilikuja kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo alikuwa msikitini hali ya kuwa ameshegama kwenye blanketi yake nyekundu. Nikamwambia: “Ee Mtume wa Allaah! Mimi nimekuja kutafuta elumu.” Akasema: “Karibu ee mwanafunzi. Hakika mwanafunzi anazungukwa na Malaika na wanamfunika kwa mbawa zao. Kisha wanapandiana mpaka wanafika kwenye mbingu ya chini kwa ajili ya kupenda kwao kile anachokitafuta.”[1]
Ameipokea Ahmad, at-Twabaraaniy kwa cheni ya wapokezi nzuri na tamko ni lake, Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake na al-Haakim amesema:
“Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh.”
Ibn Maajah amepokea mfano wake kwa ufupi.
[1] Nzuri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/139-140)
Imechapishwa: 14/09/2018
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/40678-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)