10- Kuna kundi la wanachuoni wameonelea kuchukizwa wanaume kuitwa kwa majina ya Malaika kama Jibraa-iyl, Mikaa-iyl na Israafiyl (´alayhimus-Salaam). Kuhusu wanawake kuitwa kwa majina ya Malaika, udhahiri ni kwamba ni haramu kuwapa majina ya Malaika kwa sababu ni kujifananisha na washirikina waliowafanya Malaika kuwa ni mabanati wa Allaah – Allaah ametakasika na wayasemayo! Majina yaliyo vilevile karibu na haya ni kumpa msichana jina la Malaak na Malakah.
- Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 29
- Imechapishwa: 18/03/2017
10- Kuna kundi la wanachuoni wameonelea kuchukizwa wanaume kuitwa kwa majina ya Malaika kama Jibraa-iyl, Mikaa-iyl na Israafiyl (´alayhimus-Salaam). Kuhusu wanawake kuitwa kwa majina ya Malaika, udhahiri ni kwamba ni haramu kuwapa majina ya Malaika kwa sababu ni kujifananisha na washirikina waliowafanya Malaika kuwa ni mabanati wa Allaah – Allaah ametakasika na wayasemayo! Majina yaliyo vilevile karibu na haya ni kumpa msichana jina la Malaak na Malakah.
Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 29
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/40-aina-ya-kumi-ya-majina-yaliyochukizwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)