Swali 39: Ni upi wakati wa mwisho wa ´Ishaa na ni vipi mtu ataujua?
Jibu: Mwisho wa wakati wa ´Ishaa ni nusu ya usiku. Mtu anajua hilo kwa kugawanya mara mbili kuanzia pale jua linapozama mpaka kuchomoza kwa alfajiri. Nusu ya mwanzo ndio wakati wa kumalizika kwa ´Ishaa. Nusu ya pili ya usiku iliyobaki sio wakati [wa ´Ishaa], bali ni nafasi kati ya ´Ishaa na Fajr.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 36
- Imechapishwa: 06/08/2021
Swali 39: Ni upi wakati wa mwisho wa ´Ishaa na ni vipi mtu ataujua?
Jibu: Mwisho wa wakati wa ´Ishaa ni nusu ya usiku. Mtu anajua hilo kwa kugawanya mara mbili kuanzia pale jua linapozama mpaka kuchomoza kwa alfajiri. Nusu ya mwanzo ndio wakati wa kumalizika kwa ´Ishaa. Nusu ya pili ya usiku iliyobaki sio wakati [wa ´Ishaa], bali ni nafasi kati ya ´Ishaa na Fajr.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 36
Imechapishwa: 06/08/2021
https://firqatunnajia.com/39-ni-upi-wakati-wa-mwisho-wa-ishaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)