37- Muhammad bin ´Abdil-Baaqiy ametukhabarisha: Ahmad bin al-Hasan ametuhadithia: al-Hasan bin Ahmad ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin ´Abdillaah ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin ´Iysaa ametuhadithia: al-Qa´nabiy ametuhadithia: Maalik ametuhadithia, kutoka kwa Abuz-Zinaad, kutoka kwa al-A´raaj, kutoka kwa Abu Hurayrah aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Salla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wanapishana kwenu Malaika wa usiku na Malaika wa mchana. Wanakusanyika katika swalah ya Fajr na swalah ya ´Aswr. Halafu hupanda wale waliolala kwenu ambapo Mola wenu Anawauliza – ilihali ni mjuzi zaidi kuliko wao: “Mmewaachaje waja Wangu?” Wanasema: “Tumewaacha na huku wanaswali na tumewaendea na huku wanaswali.”[1]
[1] al-Bukhaariy (7429) na Muslim (632).
- Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 132
- Imechapishwa: 18/06/2018
37- Muhammad bin ´Abdil-Baaqiy ametukhabarisha: Ahmad bin al-Hasan ametuhadithia: al-Hasan bin Ahmad ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin ´Abdillaah ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin ´Iysaa ametuhadithia: al-Qa´nabiy ametuhadithia: Maalik ametuhadithia, kutoka kwa Abuz-Zinaad, kutoka kwa al-A´raaj, kutoka kwa Abu Hurayrah aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Salla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wanapishana kwenu Malaika wa usiku na Malaika wa mchana. Wanakusanyika katika swalah ya Fajr na swalah ya ´Aswr. Halafu hupanda wale waliolala kwenu ambapo Mola wenu Anawauliza – ilihali ni mjuzi zaidi kuliko wao: “Mmewaachaje waja Wangu?” Wanasema: “Tumewaacha na huku wanaswali na tumewaendea na huku wanaswali.”[1]
[1] al-Bukhaariy (7429) na Muslim (632).
Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 132
Imechapishwa: 18/06/2018
https://firqatunnajia.com/39-dalili-ya-thelathini-na-saba-kutoka-katika-sunnah-kwamba-allaah-yuko-juu-ya-viumbe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)