Imaam Ibn Abiy Daawuud (Rahimahu Allaah) amesema:
إلى طبقِ الدنيا يمُنُّ بفضلهِ
12 – Anashuka kuja kwenye mbingu ya dunia ili atunuku fadhilah Zake
فتفرجُ أبواب السماءِ وتُفتحُ
milango ya mbingu hufunguliwa
يقولُ أَلا مُستغفرٌ يَلقَ غافراً
13 – Husema “Tanabahini! Kuna mwombaji msamaha akutane na mwenye kusamehe?
ومُستمنحٌ خيراً ورِزْقاً فُيمنحُ
Je, kuna mwenye kuomba kheri na riziki ili apewe?”
MAELEZO
Anashuka kuja kwenye mbingu ya dunia. Kwa sababu mbingu ina tabaka saba. Amesema (Ta´ala):
أَلَمْ تَرَوْا كَيْفَ خَلَقَ اللَّـهُ سَبْعَ سَمَاوَاتٍ طِبَاقًا
“Je, hamuoni jinsi Allaah alivyoziumba mbingu saba kwa matabaka?” (71:15)
Baadhi ya tabaka ziko juu ya zingine. Hushuka (Jalla wa ´Alaa) namna anavyotaka katika mbingu ya chini inayofuatiwa na ardhi.
Mtunzi (Rahimahu Allaah) amesema:
“… ili atunuku fadhilah Zake.”
Husema (Subhaanah):
“Je, kuna anayeniomba Nimpe?”
Hizi ni fadhilah kutoka kwa Allaah. Husema:
“Je, kuna anayeomba msamaha Nimsamehe? Je, kuna mwenye kutubia Nimkubalie tawbah yake?”
Yote haya ni kutokana na fadhilah Zake (Subhaanahu wa Ta´ala). Anaowanyesha waja Wake ukarimu Wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Mandhuumat-ul-Haaiyyah fiy ´Aqiydati Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 101
- Imechapishwa: 10/01/2024
Imaam Ibn Abiy Daawuud (Rahimahu Allaah) amesema:
إلى طبقِ الدنيا يمُنُّ بفضلهِ
12 – Anashuka kuja kwenye mbingu ya dunia ili atunuku fadhilah Zake
فتفرجُ أبواب السماءِ وتُفتحُ
milango ya mbingu hufunguliwa
يقولُ أَلا مُستغفرٌ يَلقَ غافراً
13 – Husema “Tanabahini! Kuna mwombaji msamaha akutane na mwenye kusamehe?
ومُستمنحٌ خيراً ورِزْقاً فُيمنحُ
Je, kuna mwenye kuomba kheri na riziki ili apewe?”
MAELEZO
Anashuka kuja kwenye mbingu ya dunia. Kwa sababu mbingu ina tabaka saba. Amesema (Ta´ala):
أَلَمْ تَرَوْا كَيْفَ خَلَقَ اللَّـهُ سَبْعَ سَمَاوَاتٍ طِبَاقًا
“Je, hamuoni jinsi Allaah alivyoziumba mbingu saba kwa matabaka?” (71:15)
Baadhi ya tabaka ziko juu ya zingine. Hushuka (Jalla wa ´Alaa) namna anavyotaka katika mbingu ya chini inayofuatiwa na ardhi.
Mtunzi (Rahimahu Allaah) amesema:
“… ili atunuku fadhilah Zake.”
Husema (Subhaanah):
“Je, kuna anayeniomba Nimpe?”
Hizi ni fadhilah kutoka kwa Allaah. Husema:
“Je, kuna anayeomba msamaha Nimsamehe? Je, kuna mwenye kutubia Nimkubalie tawbah yake?”
Yote haya ni kutokana na fadhilah Zake (Subhaanahu wa Ta´ala). Anaowanyesha waja Wake ukarimu Wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Mandhuumat-ul-Haaiyyah fiy ´Aqiydati Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 101
Imechapishwa: 10/01/2024
https://firqatunnajia.com/39-allaah-hushuka-mbingu-ya-chini-ya-dunia-kila-usiku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)