9- Aina ya tisa ya majina yaliyochukizwa ni yale majina yaliyo pamoja kama Muhammad Ahmad na Muhammad Sa´iyd. Katika hali hii Ahma ndio jina ilihali Muhammad liko kwa dhumuni la kutabaruki. Majina kama haya yanasababisha utatizi na ndio maana hayakuwa yakitambulika wakati wa Salaf. Yamejitokeza katika karne zilizokuja nyuma.
Vivyo hivyo inahusiana pia na majina yaliyo na jina “Allaah” kama Hasbullaah, Rahmatullaah na Jabrullaah. Katika hayo kunavuliwa “´Abdullaah” kwani ndio jina linalopendwa zaidi na Allaah.
Hali kadhalika inahusiana na majina yaliyo na Mtume kama Hasb-ur-Rasuul na Ghulaam-ur-Rasuul.
- Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 28
- Imechapishwa: 18/03/2017
9- Aina ya tisa ya majina yaliyochukizwa ni yale majina yaliyo pamoja kama Muhammad Ahmad na Muhammad Sa´iyd. Katika hali hii Ahma ndio jina ilihali Muhammad liko kwa dhumuni la kutabaruki. Majina kama haya yanasababisha utatizi na ndio maana hayakuwa yakitambulika wakati wa Salaf. Yamejitokeza katika karne zilizokuja nyuma.
Vivyo hivyo inahusiana pia na majina yaliyo na jina “Allaah” kama Hasbullaah, Rahmatullaah na Jabrullaah. Katika hayo kunavuliwa “´Abdullaah” kwani ndio jina linalopendwa zaidi na Allaah.
Hali kadhalika inahusiana na majina yaliyo na Mtume kama Hasb-ur-Rasuul na Ghulaam-ur-Rasuul.
Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 28
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/39-aina-ya-tisa-ya-majina-yaliyochukizwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)