Baada ya siku saba yeye mwenyewe kwa nafsi yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akawashambulia Banuu Sulaym. Aliikaa huko kwa muda wa siku tatu kisha akarudi. Hakukutokea vita vyovyote. Wakati huo alimwacha Sibaa´ bin ´Urfutah kama khalifah huko al-Madiynah. Kuna maoni mengine yanayosema vilevile kwamba alikuwa ni Ibn Umm Maktuum.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 54
- Imechapishwa: 10/10/2018
Baada ya siku saba yeye mwenyewe kwa nafsi yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akawashambulia Banuu Sulaym. Aliikaa huko kwa muda wa siku tatu kisha akarudi. Hakukutokea vita vyovyote. Wakati huo alimwacha Sibaa´ bin ´Urfutah kama khalifah huko al-Madiynah. Kuna maoni mengine yanayosema vilevile kwamba alikuwa ni Ibn Umm Maktuum.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 54
Imechapishwa: 10/10/2018
https://firqatunnajia.com/38-safari-ya-kijeshi-dhidi-ya-banuu-sulaym/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)