Swali 38: Je, inafaa kwa mwanamke huyu anayetokwa na utoko[1] kuswali kisimamo cha usiku kukipita nusu ya usiku kwa wudhuu´ wa swalah ya ´Ishaa?
Jibu: Hapana. Ukishapita nusu ya usiku basi itamlazimu kutawadha upya. Yako maoni mengine yanayosema pia kwamba si lazima kutawadha upya, nayo ndio maoni yenye nguvu.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/37-anayetokwa-na-utoko-kukaa-na-wudhuu-muda-mrefu/
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 35-36
- Imechapishwa: 02/08/2021
Swali 38: Je, inafaa kwa mwanamke huyu anayetokwa na utoko[1] kuswali kisimamo cha usiku kukipita nusu ya usiku kwa wudhuu´ wa swalah ya ´Ishaa?
Jibu: Hapana. Ukishapita nusu ya usiku basi itamlazimu kutawadha upya. Yako maoni mengine yanayosema pia kwamba si lazima kutawadha upya, nayo ndio maoni yenye nguvu.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/37-anayetokwa-na-utoko-kukaa-na-wudhuu-muda-mrefu/
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 35-36
Imechapishwa: 02/08/2021
https://firqatunnajia.com/38-anayetokwa-na-utoko-kuswali-kisimamo-cha-usiku-kwa-wudhuu-wa-ishaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)