Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu Allaah) amesema:
“Inafaa na ni sahihi kuwapa zakaah sawa wakiwa wema au waovu.”
MAELEZO
Miongoni mwa haki za watawala ni kuwapa zakaah. Zakaah wanatakiwa kupewa wao au manaibu wao na si wengineo. Yule mwenye kutoa zakaah kumpa mwengine asiyekuwa wao basi ni lazima kwake kuilipa tena.
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Itmaam-ul-Minnah, uk. 140
- Imechapishwa: 30/04/2019
Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu Allaah) amesema:
“Inafaa na ni sahihi kuwapa zakaah sawa wakiwa wema au waovu.”
MAELEZO
Miongoni mwa haki za watawala ni kuwapa zakaah. Zakaah wanatakiwa kupewa wao au manaibu wao na si wengineo. Yule mwenye kutoa zakaah kumpa mwengine asiyekuwa wao basi ni lazima kwake kuilipa tena.
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Itmaam-ul-Minnah, uk. 140
Imechapishwa: 30/04/2019
https://firqatunnajia.com/37-zakaah-wanapaswa-kupewa-watawala/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)