Wale wenye kuonelea kuwa hazitakiwi kupitishwa kama zilivyo na wakakanusha sifa za Allaah zilizothibiti au baadhi yake au wakathibitisha hali tofauti na sifa, ni makundi mawili:
1- Mu´awwilah katika Jahmiyyah na wengineo. Wameyafasiri kimakosa maandiko ya sifa kwa maana walizoziteua wao. Kwa mfano wamefasiri mkono kuwa ni neema, kulingana kwamba ni kutawala na mfano wa hayo.
2- Mufawwidhwah. Ni wale wanaosema kuwa Allaah pekee ndiye anayejua maana ya maandiko. Halafu wanasema kuwa haziwezi kuwa na maana ya kidhahiri. Huku ni kujigonga. Kudai namna hii baada ya kusema kwamba hawajui zina maana gani ni kujigonga. Katika hali kama hii hawatakiwi kuthibitisha wala kukanusha, jambo ambalo liko wazi.
Tofauti kati ya makundi haya mawili, ni kwamba hilo la kwanza wanathibitisha maana inayoenda kinyume na ile ya dhahiri, wakati hilo la pili wanaitegemeza maana kwa Allaah pasi na kuthibitisha maana yoyote. Pamoja na hivyo wanaona kwamba maandiko hayo hayamthibitishii sifa yoyote Allaah (´Azza wa Jall).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fath Rabb-il-Bariyyah, uk. 87-88
- Imechapishwa: 13/05/2020
Wale wenye kuonelea kuwa hazitakiwi kupitishwa kama zilivyo na wakakanusha sifa za Allaah zilizothibiti au baadhi yake au wakathibitisha hali tofauti na sifa, ni makundi mawili:
1- Mu´awwilah katika Jahmiyyah na wengineo. Wameyafasiri kimakosa maandiko ya sifa kwa maana walizoziteua wao. Kwa mfano wamefasiri mkono kuwa ni neema, kulingana kwamba ni kutawala na mfano wa hayo.
2- Mufawwidhwah. Ni wale wanaosema kuwa Allaah pekee ndiye anayejua maana ya maandiko. Halafu wanasema kuwa haziwezi kuwa na maana ya kidhahiri. Huku ni kujigonga. Kudai namna hii baada ya kusema kwamba hawajui zina maana gani ni kujigonga. Katika hali kama hii hawatakiwi kuthibitisha wala kukanusha, jambo ambalo liko wazi.
Tofauti kati ya makundi haya mawili, ni kwamba hilo la kwanza wanathibitisha maana inayoenda kinyume na ile ya dhahiri, wakati hilo la pili wanaitegemeza maana kwa Allaah pasi na kuthibitisha maana yoyote. Pamoja na hivyo wanaona kwamba maandiko hayo hayamthibitishii sifa yoyote Allaah (´Azza wa Jall).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fath Rabb-il-Bariyyah, uk. 87-88
Imechapishwa: 13/05/2020
https://firqatunnajia.com/37-tofauti-kati-ya-muawwilah-na-mufawwidhwah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)