Swali 36: Anapotawadha mwanamke anayetokwa na utoko wenye kuendelea kwa ajili ya swalah ya faradhi – je, inafaa kwake kuswali swalah ya Sunnah na kusoma Qur-aan kwa wudhuu´ wa faradhi hiyo mpaka kutapoingia faradhi ya pili?
Jibu: Akitawadha kwa ajili ya kuswali swalah ya faradhi mwanzoni mwa wakati basi inafaa kwake kuswali atakayo katika swalah za faradhi na za Sunnah na kusoma Qur-aan mpaka pale kutapoingia wakati wa swalah nyingine.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 34
- Imechapishwa: 01/08/2021
Swali 36: Anapotawadha mwanamke anayetokwa na utoko wenye kuendelea kwa ajili ya swalah ya faradhi – je, inafaa kwake kuswali swalah ya Sunnah na kusoma Qur-aan kwa wudhuu´ wa faradhi hiyo mpaka kutapoingia faradhi ya pili?
Jibu: Akitawadha kwa ajili ya kuswali swalah ya faradhi mwanzoni mwa wakati basi inafaa kwake kuswali atakayo katika swalah za faradhi na za Sunnah na kusoma Qur-aan mpaka pale kutapoingia wakati wa swalah nyingine.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 34
Imechapishwa: 01/08/2021
https://firqatunnajia.com/36-wudhuu-kwa-mwanamke-anayetokwa-na-utoko-nyakati-zote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)