36- Ahmad bin Muhammad bin Mansuur ametuhadithia: Ismaa´iyl bin Muhammad ametuhadithia… ح Muhammad bin ´Abd bin ´Abdih ametuhadithia: al-Idriys ametuhadithia: Abuu Muslim ametuhadithia: Abuu ´Aaswim ametuhadithia, kutoka kwa Muhammad bin Rifaa´, kutoka kwa Suhayl… ح ´Abdul-´Aziyz bin al-Mukhtar ametuhadithia: Suhayl ametuhadithia… ح al-Qaadhwiy Abuu Mansuur ametuhadithia: Haaruun bin Ahmad ametuhadithia: ´Aliy bin al-´Abbaas al-Bujaaliy ametuhadithia: Ibraahiym bin Yuusuf al-Hadhwramiy ametuhadithia… ح Muhammad bin Ahmad al-Jaaruudiy ametuhadithia kwa kutusomea: Muhammad bin ´Abdillaah al-Quraashiy ametuhadithia: Muhammad bin Swaalih ametuhadithia: Ismaa´iyl bin Bahraam al-Kilaaniy al-Kuufiy ametuhadithia: al-Ashja´iy ametuhadithia, kutoka kwa Sufyaan ath-Thawriy, kutoka kwa Suhayl bin Abiy Swaalih, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Abuu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kusema wakati jua linapozama:
أَعُوذُ بِكَلِمَاتِ الله التامَّاتِ من شَرِّ مَا خَلَقَ
“Najilinda na maneno ya Allaah yaliyokamilika kutokana na shari ya vile alivyoviumba.”
hatodhuriwa na kitu katika usiku huo.”[1]
[1] Muslim (2709) na Ahmad (2/375).
- Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 73
- Imechapishwa: 12/02/2017
36- Ahmad bin Muhammad bin Mansuur ametuhadithia: Ismaa´iyl bin Muhammad ametuhadithia… ح Muhammad bin ´Abd bin ´Abdih ametuhadithia: al-Idriys ametuhadithia: Abuu Muslim ametuhadithia: Abuu ´Aaswim ametuhadithia, kutoka kwa Muhammad bin Rifaa´, kutoka kwa Suhayl… ح ´Abdul-´Aziyz bin al-Mukhtar ametuhadithia: Suhayl ametuhadithia… ح al-Qaadhwiy Abuu Mansuur ametuhadithia: Haaruun bin Ahmad ametuhadithia: ´Aliy bin al-´Abbaas al-Bujaaliy ametuhadithia: Ibraahiym bin Yuusuf al-Hadhwramiy ametuhadithia… ح Muhammad bin Ahmad al-Jaaruudiy ametuhadithia kwa kutusomea: Muhammad bin ´Abdillaah al-Quraashiy ametuhadithia: Muhammad bin Swaalih ametuhadithia: Ismaa´iyl bin Bahraam al-Kilaaniy al-Kuufiy ametuhadithia: al-Ashja´iy ametuhadithia, kutoka kwa Sufyaan ath-Thawriy, kutoka kwa Suhayl bin Abiy Swaalih, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Abuu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kusema wakati jua linapozama:
أَعُوذُ بِكَلِمَاتِ الله التامَّاتِ من شَرِّ مَا خَلَقَ
“Najilinda na maneno ya Allaah yaliyokamilika kutokana na shari ya vile alivyoviumba.”
hatodhuriwa na kitu katika usiku huo.”[1]
[1] Muslim (2709) na Ahmad (2/375).
Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 73
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/36-dalili-ya-kwamba-maneno-ya-allaah-hayakuumbwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)