34- Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia: Rawh ametuhadithia: Ibn Jurayj ametuhadithia, kutoka kwa Abuz-Zubayr aliyesimulia kuwa amemsikia Jaabir akiulizwa kuhusu Swiraat. Akataja Hadiyth ambapo akasema:
Allaah (´Azza wa Jal) atasema: “Mimi ni Mola wenu.” Watasema: “Mpaka tukuone kwanza.” Ndipo Ajifunue kwao hali akicheka.”
Amesema: “Nimemsikia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema hivo.”[1]
Ameipokea Muslim katika mlango unaozungumzia imani kupitia kwa ´Ubaydullaah na Ishaaq bin Mansuur, kutoka kwa Rawh, kutoka kwa ´Ubaadah, kutoka kwa Ibn Jurayj, kutoka kwa Jaabir.
[1] Muslim (191) na Ahmad (3/383).
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 74-75
- Imechapishwa: 02/03/2018
34- Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia: Rawh ametuhadithia: Ibn Jurayj ametuhadithia, kutoka kwa Abuz-Zubayr aliyesimulia kuwa amemsikia Jaabir akiulizwa kuhusu Swiraat. Akataja Hadiyth ambapo akasema:
Allaah (´Azza wa Jal) atasema: “Mimi ni Mola wenu.” Watasema: “Mpaka tukuone kwanza.” Ndipo Ajifunue kwao hali akicheka.”
Amesema: “Nimemsikia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema hivo.”[1]
Ameipokea Muslim katika mlango unaozungumzia imani kupitia kwa ´Ubaydullaah na Ishaaq bin Mansuur, kutoka kwa Rawh, kutoka kwa ´Ubaadah, kutoka kwa Ibn Jurayj, kutoka kwa Jaabir.
[1] Muslim (191) na Ahmad (3/383).
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 74-75
Imechapishwa: 02/03/2018
https://firqatunnajia.com/35-dalili-juu-ya-kucheka-kwa-allaah-3/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)