Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
32- Kila kitu kinapitika kwa makadirio na utashi Wake.
MAELEZO
Hapana shaka kwamba kila kitu kinapitika kutokana na makadirio Yake. Hakuna chochote kinachotoka nje ya makadirio Yake; si kheri, si shari, utiifu, maasi, kufuru, imani, maradhi, afya njema, utajiri, umasikini, elimu na ujinga. Kila kitu kinatokea kwa makadirio Yake. Hakuna chochote katika ufalme Wake kinachotokea mbali na kile alichokikadiria na kukitaka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 50
- Imechapishwa: 25/09/2019
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
32- Kila kitu kinapitika kwa makadirio na utashi Wake.
MAELEZO
Hapana shaka kwamba kila kitu kinapitika kutokana na makadirio Yake. Hakuna chochote kinachotoka nje ya makadirio Yake; si kheri, si shari, utiifu, maasi, kufuru, imani, maradhi, afya njema, utajiri, umasikini, elimu na ujinga. Kila kitu kinatokea kwa makadirio Yake. Hakuna chochote katika ufalme Wake kinachotokea mbali na kile alichokikadiria na kukitaka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 50
Imechapishwa: 25/09/2019
https://firqatunnajia.com/34-kila-kitu-kinapitika-kwa-makadirio-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)