34. Aina ya nne majina yaliyochukizwa

4- Imechukizwa kuitwa kwa jina lililo na maana ya dhambi au maasi. Dhaalim (dhalimu) bin Sarraaq (mwizi). Imepokelewa namna ´Uthmaan bin Abiyl-´Aasw alivyokataa kumuajiri mtu mwenye jina kama hilo, imepokelewa na al-Fasawiy katika “al-Ma´rifah wat-Taariykh” (03/102).

  • Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 26
  • Imechapishwa: 18/03/2017