33- Muhammad bin ´Aliy bin Muhammad as-Sunniy ametuhadithia: Muhammad bin Ibraahiym bin Naafiy´ ametuhadithia kwa kutusomea: Muusaa bin Haaruun ametuhadithia: Khalaf bin Hishaam ametuhadithia: Abuu Shihaab al-Hannaat ametuhadithia, kutoka kwa Ismaa´iyl bin Abiy Khaalid, kutoka kwa Qays bin Abiy Haazim, kutoka kwa Jariyr (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye amesema:
“Wakati mmoja tulikuwa pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) safarini akautazama mwezi na kusema: “Hakika nyinyi mtamuona Mola wenu kwa macho kama mnavyouona mwezi mwandamo – hamtosongamana katika kumuona huko. Iwapo mtaweza kuswali kabla ya jua kuchomoza na kabla ya jua kuzama basi fanyeni hivo.” Kisha akasoma:
وَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ قَبْلَ طُلُوعِ الشَّمْسِ وَقَبْلَ الْغُرُوبِ
“Sabihi kwa himdi za Mola wako kabla ya kuchomoza jua na kabla ya kuzama.” (50:39)
- Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 72
- Imechapishwa: 08/02/2017
33- Muhammad bin ´Aliy bin Muhammad as-Sunniy ametuhadithia: Muhammad bin Ibraahiym bin Naafiy´ ametuhadithia kwa kutusomea: Muusaa bin Haaruun ametuhadithia: Khalaf bin Hishaam ametuhadithia: Abuu Shihaab al-Hannaat ametuhadithia, kutoka kwa Ismaa´iyl bin Abiy Khaalid, kutoka kwa Qays bin Abiy Haazim, kutoka kwa Jariyr (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye amesema:
“Wakati mmoja tulikuwa pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) safarini akautazama mwezi na kusema: “Hakika nyinyi mtamuona Mola wenu kwa macho kama mnavyouona mwezi mwandamo – hamtosongamana katika kumuona huko. Iwapo mtaweza kuswali kabla ya jua kuchomoza na kabla ya jua kuzama basi fanyeni hivo.” Kisha akasoma:
وَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ قَبْلَ طُلُوعِ الشَّمْسِ وَقَبْلَ الْغُرُوبِ
“Sabihi kwa himdi za Mola wako kabla ya kuchomoza jua na kabla ya kuzama.” (50:39)
Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 72
Imechapishwa: 08/02/2017
https://firqatunnajia.com/33-dalili-ya-kwamba-waumini-watamuona-allaah-kwa-macho-yao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)