32- ´Abdullaah bin Muhammad bin ´Abdil-´Aziyz ametuhadithia: Hudbah bin Khaalid Abu Khaalid al-Qaysiy ametuhadithia: Hammaad bin Salamah ametuhadithia, kutoka kwa Ya´laa bin ´Atwaa’, kutoka kwa Wakiy´ bin Hudus, kutoka kwa Abu Raziyn aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mola wetu (´Azza wa Jall) anacheka juu ya kukata tamaa kwa waja Wake pamoja na kuwa mageuzo Yake yalikuwa karibu.” Nikasema: “Mola (´Azza wa Jall) anacheka?” Akasema: “Ndio.” Ndipo nikasema: “Basi Mola ambaye anacheka kamwe hatotunyima kheri.”[1]
[1] at-Twayaalisiy (1092), Ahmad (4/11), Ibn Maajah (181), Ibn Abiy ´Aaswim (554), at-Twabaraaniy (19/207), al-Aajurriy, uk. 279, na ad-Daaraqutwniy (30). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Silsilat-ul-Ahaadîth as-Swahiyhah” (6/2/732-733).
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 72-73
- Imechapishwa: 02/03/2018
32- ´Abdullaah bin Muhammad bin ´Abdil-´Aziyz ametuhadithia: Hudbah bin Khaalid Abu Khaalid al-Qaysiy ametuhadithia: Hammaad bin Salamah ametuhadithia, kutoka kwa Ya´laa bin ´Atwaa’, kutoka kwa Wakiy´ bin Hudus, kutoka kwa Abu Raziyn aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mola wetu (´Azza wa Jall) anacheka juu ya kukata tamaa kwa waja Wake pamoja na kuwa mageuzo Yake yalikuwa karibu.” Nikasema: “Mola (´Azza wa Jall) anacheka?” Akasema: “Ndio.” Ndipo nikasema: “Basi Mola ambaye anacheka kamwe hatotunyima kheri.”[1]
[1] at-Twayaalisiy (1092), Ahmad (4/11), Ibn Maajah (181), Ibn Abiy ´Aaswim (554), at-Twabaraaniy (19/207), al-Aajurriy, uk. 279, na ad-Daaraqutwniy (30). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Silsilat-ul-Ahaadîth as-Swahiyhah” (6/2/732-733).
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 72-73
Imechapishwa: 02/03/2018
https://firqatunnajia.com/33-dalili-juu-ya-kucheka-kwa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)